More Giniazy track

[soundcloud url="https://api.soundcloud.com/tracks/167825674" params="auto_play=true&color=ff5500" width="100%" height="166" iframe="true" /]

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Jumanne, 14 Oktoba 2014

ingia ujisomeeeeeeeeeeee>>>> Mapenzi Wanawake Wenye Hips na Shida Wanazokabiliana Nazo Kila Siku eingia

Wanawake wengi wenye hips , ni wanawake ambao si kwa mwanaume tu hata kwa wanawake wenzie husifia kuwa fulani kajaliwa, ki maumbile, ni kweli wana mvuto wa pekee, humwagiwa sifa nyingi za urembo, lakini pia kwa upande mwingine wa shillingi ni mata...

Jumapili, 12 Oktoba 2014

Kabula kahaba.. Kabulaa mlevi...kabula ana UKIMWI ivi ni kwelii .....................???????

muigizaji wa kike bongo movie jini KABULA anaye tumia jina la kabulaflavor intagram amefunguka hivi kuhusu wale wanaofuatilia maisha yake.... ati kipi sija sikia kabula kahaba.... kabula mlevi... kabulaa changu doaa.....kabula ana ukimwi naombeni mseme mapya  niacheni ni pumz...

ULEVI NI SHIDAAAA.....>>>>>>>>>>>

picha hapo juu inajieleza yenyewe jinsi dada huyo alivyo pombeka na kufikia hatuaah yakutojielewaaa na wajanjaa hawakusitaa kufanya yao na kumwacha dadahuyoo mtaronii ulevi ni shida...

Jumatano, 8 Oktoba 2014

MCHAKATO:wa katiba mpya Tanzania

Jakaya Kikwete wa Tanzania na Rais wa Zanzibar, Dr Ali Mohammed Shein, leo jioni wakitarajiwa kukabidhiwa rasimu ya katiba iliyopitishwa na Bunge Maalum la Katiba, nchi hiyo inajikuta ikiwa katika mgawanyiko wa kisiasa ambao haujashuhudiwa kwa muda mrefu. Hassan Mhelela anatathmini mchakato mzima wa kusaka katiba mpya na changamoto zake. Rasimu hiyo ya katiba ilipitishwa kwa kura ya ndiyo ya wajumbe wengi wa chama tawala CCM na wale wa kundi...

Jumamosi, 4 Oktoba 2014

Hii ni kuhusu Wanajeshi kupigana na Polisi Tarime juzi, wangapi wameumia? kisa?

Hii ni taarifa kutoka Tarime mkoani Mara ambako watu 12 wamejeruhiwa wakati wa mashambulizi ya kurushiana risasi kati ya askari wa JWTZ kituo cha Nyandoto na polisi wa kituo cha stendi. Kwa mujibu wa magazeti ya Nipashe na Mwanachi leo, hii ishu ilitokea wakati Wanajeshi hao walipokua wakijaribu kumchukua Mwanajeshi mwenzao aliyekamwatwa na polisi hao kwa kosa la kuendesha pikipiki bila kuvaa kofia (Helmet). Mashambuliazi hayo ya kurushiana risasi...

Jumamosi, 27 Septemba 2014

top 5 YA LISTI YA WASANII WA BONGO FLEVA WENYE MKWANJA MREFU KULIKO WOTE

1:DIAMOND PLATNUM ni msanii namba moja alie tajwa kwenye listi hii ambaye ndiye anaeoongoza kwa kulipwa pesa nyingi zaidi kwenye show zake ambapo analipwa hadi dola $4000 kwa show sawa na shilingi 350,000.... pia diamond anamiliki magari  ya samani  maduka nyumba na mashamba hapa tanzania 2:PROFESOUR JAY ni msani namba mbili katika listi hii ambae ameanza mziki miaka ya tisini nana hadi sasa ameweza ku meintane na kuedelea...

Mambo ya Kishamba Ambayo Mwanaume wa Sasa Hutakiwi Kuyafanya

1. Kufuata mkumbo, kutokuwa na maamuzi yako mwenyewe. 2. Kuongea lugha chafu, huwezi kumaliza sentensi bila matusi. 3. Kuvaa mlegezo. 4. Kunyoa panki, kiduku au kuacha afro. 5. Kuvaa viatu vya four angles au vyenye soli kubwa. 6. Kukimbia mimba au...

Faida Ama Uzuri wa Kuoa Single Mothers na Wadada Over 35 yearsu cheki>>>>>>>>>>>> mwana dada anavo sema

Ndoa nyingi zina changamoto lakini nimegundua ukioa single mother au dada ambae ni 35+ hawa watu mara nyingi huwa ni wife materials ukilinganisha na hawa wenye age ya 20-35. *Hawa watu wana commitment sana katika ndoa zao. *Wanakuwa washapitia ch...

hili ndo shoga la dunia>>>>>>>>>>>>>cheki video

Mwanaume mmoja ajulikanaye kwa jina la Saidi amenaswa na Kamera akielezea jinsi anavyompagawisha mpenzi wake wa kiume, alikuwa akipiga stori na Mashosti zake wa Kike.. Angalia Video Hapa ch...

MWANAMUZIKI mwenye vituko kila kukicha Bongo, Baby Joseph Madaha>>>>>>>>>>>>>>>, ametoa dukuduku lake la moyoni na kusema kuwa kila kukicha anayatamani mapenzi ya Wema Sepetu na Nasibu Abdul ‘Diamond

MWANAMUZIKI mwenye vituko kila kukicha Bongo,  Baby Joseph Madaha, ametoa dukuduku lake la moyoni na kusema kuwa kila kukicha anayatamani mapenzi ya Wema Sepetu na Nasibu Abdul ‘Diamond’ kama angekuwa yeye. Akizungumza na paparazi wetu, Baby alisema kuwa kila akiwaona Wema na Diamond anatamani sana na yeye awe kwenye uhusiano wenye kupendwa na kuhamasisha kama ulivyokuwa wa mastaa hao kiasi ambacho amefikia hatua ya kuwaonea wivu. “Kiukweli...

habari >>>>>>>>>>>>>diamond na asema ukweli kuhusu wema

Diamond 'Kusema Ukweli Sina Mahusiano na Meninah. Kila Mtu Anajua Mie Wangu ni Wema' Hatimaye Diamond Platnumz amefunguka kuhusu tetesi zinazoendelea kuwa ameachana na Wema Sepetu na kwamba ana mpango wa kufunga ndoa na Meninah,  Diamond alisema kuwa tetesi hizo zimekuwa zikimhuzunisha kwa kiasi kikubwa. “Unajua hizi habari kiukw...

cheki >>>>>>>>>>>maneno a raisi

Ndoa nyingi zina changamoto lakini nimegundua ukioa single mother au dada ambae ni 35+ hawa watu mara nyingi huwa ni wife materials ukilinganisha na hawa wenye age ya 20-35. *Hawa watu wana commitment sana katika ndoa zao. *Wanakuwa washapitia chang Ndoa nyingi zina changamoto lakini nimegundua ukioa single mother au dada ambae ni 35+ hawa watu mara nyingi huwa ni wife materials ukilinganisha na hawa wenye age ya 20-35. *Hawa watu wana...

gonjwa la ebola >>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>jisomeeeeeeeeeeeeee

Shirika la afya duniani limesema kuwa zaidi ya watu elfu tatu sasa wamedaiwa kufariki kutokana na kuzuka kwa ugonjwa wa Ebola katika eneo la Afrika Magharibi kati ya visa elfu sita vya ugonjwa huo vilivyoripotiwa. Liberia imeathiriwa vibaya na ugonjwa huo huku WHO ikisema kuwa kumekuwa na vifo 150 vilivyotokea katika kipindi cha siku mbili pekee. Idadi hiyo inaweza kupuuzwa kwa kuwa watu wengi wanaogopa kwenda hospitalini. Hazina ya Fedha duniani...

Ijumaa, 26 Septemba 2014

new video rich mavoko pacha wanguu hapa>>>>>.

...

Alhamisi, 18 Septemba 2014

VIDEO ;DJ-khaled-hold u down ft Chriss brown ,August Alisna, future

...

Jumanne, 16 Septemba 2014

Mwanamke ajirusha kwenye bwawa la Mamba

Bi Wanpen alijirusha katika bwawa hili la kuwatunza Mamba la Samut Prakarn Mwanamke mwenye umri wa miaka 65 mjini Bangkok, Thailand, amefariki baada ya kujirusha katika bwawa lenye Mamba katika shamba la kutunza na kuhifadhi wanyama hao karibu na mji huo. Walioshuhudia kitendo hicho wanasema kuwa walimuona mwanamke...

EBORA:Jeshi la Marekani kusaidia Liberia

Liberia imeathirika sana na mlipuko wa Ebola Rais wa Marekani Barrack Obama hii leo anatazamiwa kutangaza mpango wake wa kuwatuma wanajeshi 3,000 nchini Liberia kama njia moja ya kusaidia katika vita dhidi ya ugonjwa hatari wa Ebola. Wanajeshi hao watasimamia ujenzi wa vituo vipya vya kimatibabu na pia watahusika katika...

tazama picha zinazoonyesha jinsi makalio bandia ya nikki minaji yalivyo taka kudondoka>>>>>>>>>>>

http://mhabariforum.blogspot.com/Kwenye show ya Fashion Rock Aliyofanya Rapper Nicki Minaj inasemekana alikosea pozi na makalio yake kuonekana tofauti na yanavyoonekana kwenye picha zingine na kuzua gumzo kuwa yanaweza kuwa feki kama iliyoripotiwa miaka kadha iliyopita. ...

JIONEE>>>> Video ya mtu mrefu kuliko wote duniani>>> hapa

...

Jumatatu, 15 Septemba 2014

NISHEDAH!: Nay wa Mitego amzawadia studio mpya producer wake Mr T Touch inaitwa ‘Free Nation Production’

Nay wa Mitego amesema baada ya kukamilisha ujenzi wa studio yake mpya iitwayo ‘Free Nation Production’ ameamua kumkabidhi producer wake Mr T Touch kama zawadi kutokana na kazi ambayo amekuwa akimfanyia katika muziki wake. Akizungumza na Bongo5 jana, Nay amesema kuwa ameamua kufanya hivyo baada ya kuona kuwa muziki unazaolishwa na producer huyo unamwingizia pesa nyingi kuliko malipo anayompa. “Wasanii tuna maproducer ,maproducer...

MAGAZETI: Wema >>>najitahidi kumfurahisha diamond >>>>ingia ujisomeee....!

#Magazeti,Wema Sepetu’Najitahidi Kumfurrahisha Diamond...

video: ya professa j kipisija sikiaa hi hapah

...

HATARI:polisi wanasa vilipuzi huko uganda

Mshirikishe mwenzako Polisi Uganda wamewakamata washukiwa 19 wa Alshabab Polisi nchini Uganda wanasema kuwa wamekamata kiasi kikubwa cha vilipuzi walipokuwa wakifanya operesheni ya kutibua jaribio la shambulizi la kigaidi la wanamgambo wa al-Shabab. Hadi sasa, watu kumi na tisa wamekamatwa na polisi na wanahojiwa kuhusiana...

EBORA:Malaysia kutoa glavu milioni 20

http://mhabariforum.blogspot.com/   Mshirikishe mwenzako Malaysia imetangaza kutoa mchango wa glavu milioni 20 kwa mataifa 5 yanayopambana na homa hatari ya Ebola Serikali ya Malaysia imesema kuwa glavu hizo zitatolewa kwa wafanyakazi wa afya nchini Liberia , Sierra Leone, Guinea, Nigeria na DRC. Upungufu wa glavu hizo umezua wasiwasi wa...

hii ndo video ya msanii wa tanzania inayoongoza kwa watazamaji wengi u tube

...

skiliza na download tack mpya ya more giniazy kutoka studio ghetoh

msanii mkali wa hiphop anaekuja kwa kasi ya ajabu ametoa ngoma yake mpya inayo enda kwa jina More Mkali kutoka studio GhEtHoh...!...

Jumapili, 14 Septemba 2014

video ya barnaba akiwa na mkewake

...

Jumamosi, 13 Septemba 2014

ben pol ft joh makini-wanichora video hapa

...

ya moto band-niseme

Angalia video mpya kutoka kwa vijana wa Mkubwa na Wanae Yamoto Band wimbo unaitwa “Niseme” video imeongozwa na Pablo...

video ya criss brown ft lil wyne na tyga loyal hii apa

...

Ijumaa, 12 Septemba 2014

stamina na fid q fiesta moshi

stamina na fid q wakigombania demu moshiii jio...

sikiliza wimbo mpya wa mwana dada yemi alade hapa

Yemi-Alade-2Mpaka sasa Yemi Alade anarekodi mbili zilizofanya vizuri Africa ambazo ni Johnny na Tangerine. Hii ni kazi ya tatu ya msanii huyu ambaye hivi karibuni alikuwa coke studio Afrika na Diamond.. Album mpya ya Yemi ni King Of Queens ...

jua madhara mbalimbali yatokanayo na unywaji wa pombe kali

Kati ya mambo ambayo watu wengi hawatilii maanani sana ni unywaji wa pombe wakati wa ujauzito. Nimekuwa nikiwaona akina mama wajawazito wengi wakinywa pombe kwenye sehemu za starehe na sherehe mbalimbali. Hata hivyo si nia ya makala hii kuwazuia kunywa pombe bali kuwapa elimu sahihi juu ya unywaji wa pombe wakati wa ujauzito. Baadhi ya wataalam wanasema unywaji wa wastani wakati wa ujauzito ni kitu ambacho kinaweza kukubalika ingawa wapo baadhi ya wataalamu wengine wanaoamini kuwa unywaji wa hata glasi moja ya mvinyo (wine) kwa wiki huhatarisha...

Jumapili, 13 Julai 2014

Matokeo ya Chanjo ya kwanza ya Ugonjwa wa Dengue uliousumbua Tanzania.

  Utafiti kutoka katika jarida la Lancet unaonyesha zaidi ya asilimia 50 ya watoto ambao wamepewa chanjo hiyo wamepata ulinzi dhidi ya ugonjwa huo. Nusu ya idadi ya watu duniani wako katika hatari ya kuambukizwa virusi vya ugonjwa huo vinavyotokana na mbu. Wataalam wanasema ingawa utafiti umekuwa ni wa muda mrefu wameahidi chanjo ya ufanisi mkubwa na muhimu ili kufanikisha lengo lao. Kwa sasa hakuna tiba ya kuzuia homa ya...

Ijumaa, 4 Julai 2014

jionee: Daraja lililobomoka na kuua wawili Brazil.

Daraja limebomoka na kuua watu wawili huku wengine zaidi ya 10 wakijeruhiwa katika mji ambako mechi za nusu fainali zikitarajia kuchezwa nchini Brazil. Tukio hilo limetokea katika mji wa Belo Horizonte wakati magari yakipita chini ya daraja ambapo moja ya malori lililokuwa limebeba gari na ujenzi na gari moja lilinasa kwa mujibu wa maafisa. mhabari forum ipo kukujuza kila kinacho tokea, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia...

Jumatano, 25 Juni 2014

more emmy minah hapana chezeaah wewee

...

Jumatatu, 23 Juni 2014

Justin Bieber & Selena Gomez: Romantic Dinner Before Movies Revealed

Courtesy of Instagram View Gallery 81 Photos 0 They’re two of the most famous people in the world, but Justin Bieber and Selena Gomez love a fun dinner-and-a-movie date as much as the rest of us! We have all the romantic details about Jelena’s fancy dinner together on June 20. Justin Bieber and Selena Gomez are done hiding...