muigizaji wa kike bongo movie jini KABULA anaye tumia jina la kabulaflavor intagram amefunguka hivi kuhusu wale wanaofuatilia maisha yake.... ati kipi sija sikia kabula kahaba.... kabula mlevi... kabulaa changu doaa.....kabula ana ukimwi naombeni mseme mapya niacheni ni pumzike
0 maoni:
Chapisha Maoni