More Giniazy track

[soundcloud url="https://api.soundcloud.com/tracks/167825674" params="auto_play=true&color=ff5500" width="100%" height="166" iframe="true" /]

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Jumatano, 25 Juni 2014

more emmy minah hapana chezeaah wewee

...

Jumatatu, 23 Juni 2014

Justin Bieber & Selena Gomez: Romantic Dinner Before Movies Revealed

Courtesy of Instagram View Gallery 81 Photos 0 They’re two of the most famous people in the world, but Justin Bieber and Selena Gomez love a fun dinner-and-a-movie date as much as the rest of us! We have all the romantic details about Jelena’s fancy dinner together on June 20. Justin Bieber and Selena Gomez are done hiding...

Jumapili, 22 Juni 2014

Rekodi mpya iliyoandikwa na Nigeria usiku wa jana kwenye kombe la dunia P

Timu ya taifa ya Nigeria ‘Super Eagles’ jana iliweka rekodi mpya katika michuano ya kombe la dunia, baada ya ushindi dhidi ya Bosnia. Super Eagles jana walipata ushindi wa kwanza kwenye michuano hiyo tangu mashindano ya mwaka 1998 yaliyofanyika Ufaransa. Goli pekee la mshambuliaji wa Stoke City Peter Odemwingie lilivunja mkosi wa kutokushinda mechi kwa Nigeria katika kipindi cha miaka 16 iliyopita. Nigeria sasa wamefikisha pointi 4 wakishika...

Baada ya Mambo Kuwa Mazito GWAJIMA Ajitosa Kumwokoa Mume wa FLORA MBASHA

Wakati  mume wa mwimba Injili Bongo,  Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha akiachiwa huru kwa dhamana kufuatia kesi ya kudaiwa kumbaka shemejiye, Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la jijini Dar es Salaam, Josephat Gwajima ameibuka na kunena mazito kuhusiana na sakata hilo. Mbasha aliachiwa kwa dhamana juzi akitokea Gereza la Keko, Dar baada ya kupandishwa kizimbani kwa mara ya kwanza katika Mahakama ya Wilaya ya...

Lowassa Atangaza ‘Uamuzi Mgumu’

Lowassa Atangaza ‘Uamuzi Mgumu’ Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowassa ametangaza kuanza kwa hatua za kuyarejesha kwenye Mamlaka za Serikali za Vijiji mashamba 21 ya wawekezaji  yenye ukubwa wa zaidi ya ekari 10,000,  ambayo hayajaendelezwa. Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Lomooti, Kata ya Lolkisale wilayani humo alipokwenda kutembelea boma la kisasa la mfugaji Isaya Lembekure,...

Skendo Chafu Zamkimbiza Masogange Bongo, Aamua Kwenda Kuishi South Afrika Kuepuka Vidole vya Watu

Imebainika kuwa Mwanadada Agness Masogange ameihama nchi na kwenda kuishi South Africa Kutokana na Skendo zinazomkabili kubwa ikiwemo ile ya Madawa ya Kulevya Ambayo alikamatwa South Africa lakini alishinda kesi na kuachiwa..Rafiki yake wa karibu aitwaje Jeniffer alihabarisha mtandao huu na kusema Agness Ameenda huko ili kutulia kwasababu hapa Bongo kila mahali alikuwa ananyooshewa Vidole kitu ambacho alikuwa akipendi kabisa...Si...

Matusi Ya Instagram Yamliza Wema Sepetu Kwa Kumtaja Mama Yake

Wema Abraham Sepetu ameeleza jinsi alivyoumizwa na matusi makali yaliyoporomoshwa na mashabiki wa team pinzani (team za Instagram) dhidi yake, matusi ambayo yamemtaja mama yake mzazi. Muigizaji huyo ameeleza hisia zake kama mtoto anaemjali na kumpenda mama yake mzazi, anaeumizwa pale mama yake anapoingizwa kwenye ugomvi wake usiomhusu na kuvunjiwa heshima kwa matusi. Wema ameandika kwenye Instagram: Dah…! Sijui hata niseme nini…! Ila si...

dakika tisini za kat Ujerumani vs Ghana, wafungaji na matokeo haya hapa

http://mhabariforum.blogspot.com/ Wawakilishi wa soka kutoka Africa kwenye michuano ya Kombe la dunia Ghana leo wametupa karata nyingine kwenye mchezo dhidi ya Ujerumani. Mchezo ulioisha muda mfupi, uliopita umeisha kwa matokeo ya sare ya 2-2. Ujerumani walianza kuliona lango la katika dakika ya 51 kupitia mchezaji Mario Gotze, lakini dakika 3 baadae Ghana wakasawazisha kupitia Andrew Ayew. Dakika ya 63 Asamoah Gyan akaifungia bao la...

Jumamosi, 21 Juni 2014

wabunge urusi wa pendekeza hoja ya kupiga vita kuvaa viatu virefuu....! soma habari kamili

Mbunge wa bunge la Urusi Oleg Mikheyev, ametoa pendekezo linalowachukiza watu wengi, zaidi ikiwa ni wanawake la kuitaka serikali kupiga marufuku uvaaji wa viatu virefu kwa wanawake. Katika pendekezo la Mikheyev lililotumwa kwa mwenyekiti wa bodi, ametaka kuwepo marufuku ya uvaaji viatu virefu na kuweka sheria kali ya jinsi viatu virefu vinavyotakiwa kuwa. Mikheyev ameandika kuwa viatu havitakiwi kuwa virefu sana kwa wanawake kwa kuwa na...

Full time ya Argentina vs Iran – matokeo na alichofanya Lionel Messi dakika za majeruhi

http://mhabariforum.blogspot.com/ Baada ya kupata sare dhidi ya Nigeria katika mchezo wao wa kwanza wa kombe la dunia, timu ya taifa ya Iran leo ilikutana na Argentina. Matokeo ya mchezo huo ni ushindi wa 1-0 kwa Argentina, shukrani kwa goli la dakika ya tisini na moja la aliyekuwa mchezaji bora wa dunia kwa mara nne mfululizo Lionel messi. Iran walipoteza nafasi kadhaa za kufunga huku wakicheza vizuri dhidi ya Argentina, iliyojaa mastaa...

Mwanaume Ashitakiwa Kwa Kuvua Na Kujichua Ndani Ya Supermarket

POSTED byhttp://mhabariforum.blogspot.com/ Kila mtu ana akili yake lakini matukio wanayofanya wenzetu yanaleta alama nyingi za kuuliza, kama tukio alilolifanya mwanaume huyu alipokuwa supermarket. Gazeti la Mirror la Marekani limeripoti kuwa mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Derek Bennett mwenye umri wa miaka 26 amekatwa na polisi baada ya kushusha suruari yake kiwiziwizi na kujichua (masterbating) huku akiendelea kufanya manunuzi...

new newz: ajali mbaya imetokea makongo juu na kuuwa watu 17 tazama picha za ajali hiyoo......

Toyota Coaster  inayofanya safari zake kati ya Ubungo na Tegeta jijini Dar es Salaam imepata ajali mbaya leo mchana baada ya kugongana na gari lingine na kusababisha vifo vya watu wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 18 katika eneo la Makongo Sekondari  jijini Dar. Maiti bado zipo eneo la tukio, habari zaidi zitakujia hivi punde.! ...

Wema Sepetu Aeleza Sababu Hasa Ya Kunyoa Nywele Zote

. Wema ameuambia mtandao wa Bongo5 kuwa aliamua kunyoa nywele kwa lengo la kuigiza kama mgonjwa wa saratani kwenye filamu yake inaitwa FAMILY, aliyofanya na Aunt Ezekiel. Amesema ameamua kuigiza filamu hiyo ili kuleta utofauti katika tasnia ya filamu Tanzania kwa kuwa anaona filamu nyingi za Tanzania zina masimulizi yanayofanana. “Kwa sabababu unaweza ukashangaa mtu amekaa kwenye kochi yaani yeye story imeenda imerudi wako kwenye makochi...

INTRENATIONAL:Sunni Militants Seize Second Iraqi Town in Anbar Province

Iraqi troops stand in rows holding their weapons as they arrive to support the Sunni anti-Al-Qaeda militia Sahwa (Awakening) in its fight against anti-government militants, including from the jihadist Islamic State of Iraq and the Levant (ISIL) in the Anbar province on June 21, 2014 in the city of Ramadi, west of the capital Baghdad. Image: Stringer/AFP By The Associated Press11 minutes ago BAGHDAD — Thousands of heavily-armed...

uganda yatoa kauli baada yakuwekewa vikwazo na marekani juu ya kupiga ushoga.

Katibu mkuu wizara ya mambo ya nje wa Uganda, Balozi James Mugume, amesema kuwa Uganda haitishwi na vikwazo ilivyowekewa na Marekani kama hatua ya kupinga sheria yake kali kuhusu Ushoga. Kwa mujibu wa BBC, Balozi Mugume ameelezea kuwa serikali ya Uganda hata hivyo itafanya mazungumzo na Marekani ili kufafanua hatua waliyochukua. Habari zinazohusiana Amesisitiza kuwa wataieleza Marekani sheria hiyo inapinga tabia ambayo sio ya kiafrika...

sikiliza Sauti ya Mbunge alietumia neno ‘noma’ na ‘mchepuko’ bungeni Dodoma.

Kangi Lugola ambae ni mbunge wa Mwibara (CCM) ni miongoni mwa Wabunge wachache ambao wakisimama bungeni unaweza usiache kucheka au kumsikiliza kwa makini kutokana na aina ya uwasilishaji wake. Huu ndio ulikua mchango wake kwenye bunge la bajeti June 20 2014 Dodoma ambapo alitumia style ya aina yake ya kuwasilisha mchango wake kwa kuchora katuni na kui-frame vizuri sana ambapo kwenye picha hiyo zinaonekana katuni sita ambazo kila...

Ijumaa, 20 Juni 2014

BALOTELI AKOSA KISS KUTOKA KWA MALIKIA WA WINGEREZA BAADA YA KUFUGWA NA COSTA RICA

Baada ya England kutandikwa mabao 2 - 1 na Uruguay, Tim hiyo inaitegemea Italy kuifunga Costa Rica katika mechi ya leo ili wajinasue kwenye siti ya basi la kombe la dunia waliokaa mwisho kabisa Kutokana na timu hiyo kuiombea Italy kushinda ili waendelee kubaki kwenye mashindano ya kombe la dunia, Balotelli ametoa mpya baadaya kudai kiss la shavuni kutoka kwa Malkia wa Uingereza kama ataisaidia Italy kuifunga Costa Rica. Hiki ndicho...

sababu iliyo fanya daraja la tabata segerea kuvunjika na kusababisha watu watanoo kufaa.....!

Kwa mujibu wa Ripota wa nguvu Lusajo kutoka Tabata, Daraja linalounganisha Majumbasita na Tabata Segerea limevunjika baada ya Lori kubwa kupita juu yake likiwa limebeba kontena kubwa wakati uwezo wa Daraja lenyewe ni Tani saba. Inadaiwa kuwa watu watano wamepoteza maisha wawili wakiwa kutoka ndani ya Lori hilo na wengine kutoka gari iliyokuwa mbele ya Lori ambayo ilitumbukia wakati daraja likivunjika. Daraja hilo lilifanyiwa matengenezo...

Umesikia ujio mpya wa Chege na Temba,hizi ni dakika 3 za Wauwe.

Baada ya kutoka taarifa kadhaa za video ambayo ndani yake pia yupo Jokate,leo Chege na Temba wameamua kuuachia rasmi wimbo wao walioupa jina la Wauwe.zitumie hizi dakika 3 kusikiliza na kutoa maoni yako hapo chini ili baadae wakipita wasome ulichokisema kuhusu wimbo huu mpya ambao kashirikishwa Malomboso kutoka Yamoto Band. Bonyeza play kusikiliza...

Uliipata ile stori ya mmoja kati ya Kanga moko kupigwa risasi?ukamilifu wake upo hapa.

Ni taarifa iliyotoka jioni ya June 17 ambayo ilimhusisha mmoja kati ya kina dada wanaounda kundi la Kanga Moko kupigwa risasi na polisi wakiwa kwenye sherehe,ameongea dada aliyepigwa risasi na pia ipo kauli ya Jeshi la Polisi Tanzania kuhusu suala hi...

Alhamisi, 19 Juni 2014

kama wewe ni mzalendo wa kweli na una roho nyepesi usisome hii!

You Lazy (Intellectual) African Scum! Yafuatayo ni Mazungumzo ya Mzungu Walter Mtaalamu wa IMF miaka ya 1980s Nchini Zambia na Raia wa Zambia walipokutana ndani ya ndege safarini kwenda USA.Mazungumzo hayo yalikuwa kama ifuatavyo: They call the Third World the lazy man’s purview; the sluggishly slothful and languorous prefecture. In this realm people are sleepy, dreamy, torpid, lethargic, and therefore indigent—totally penniless, needy, destitute, poverty-stricken, disfavored, and impoverished. In this demesne,...

DAKIKA TISINI KATI England vs Uruguay – walichofanya Suarez na Rooney hivi hapa

Mbio za kuwania ubingwa wa dunia zinazidi kushika, na hivi punde umemalizika mchezo kabambe uliowakutanisha Uruguay dhidi ya England. Matokeo ya mchezo huo ni ushindi wa 2-1 wa Uruguay. Luis Suarez akitoka kwenye majeruhi ya goti ameiwezesha timu kupata ushindi muhimu mbele ya England. Suarez alianza kuifungua Uruguay kabla ya Rooney hajasawazisha, likiwa ndio goli lake la kwanza katika fainali 3 za kombe la dunia. England wakiwa...

SOMA HABARI NYEPESINYEPESI NA ZA KUSISIMUA DUNANI KOTE HAPAA

 Mwanamke mmoja wa Ufaransa KLOR BOR amepata ujanja wa kuwapa mwamko wanachi wa mji mkuu wa nchi hiyo Paris dhidi uharibifu wa vipande vya sigara vilivyomalizika kuvutwa ambavyo vinatupwa tupwa ovyo njiani hasa ktk mitaa iliyokaribu na maeneo ya treni ya chini ya ardhi yaani Metro. Mwanadada huyo ametengeza vazi la sketi alilolitengeneza mwenyewe kwa maelfu ya vipande vya sigara.                                          ***kionjo*** ...

msiba wa geogre tyson: ndugu wa chaparapa na rambirambi...... pata habari kamili...!

MAMBO yamezidi kuwa mambo! Kifo cha aliyekuwa mwongoza filamu za Bongo, George Otieno ‘Tyson’ kimezidi kuzua mapya, safari hii ikidaiwa ndugu mmoja (jina tunalo) ameingia mitini na pesa za rambirambi zilizochangwa jijini Dar es Salaam wakati wa msiba huo. Kwa mujibu wa chanzo, ndugu huyo alikabidhiwa mshiko huo kiasi cha shilingi milioni mbili za Kibongo ambapo aliaminika kwamba baada ya kutua Nairobi, Kenya ambako mwili wa...

maajabu :ni kuhusu mtoto aliyezaliwa na mkia anayeabudiwa kama Mungu huko India

Mvulana mdogo aliyezaliwa na mkia unaofikia urefu wa inch saba anatarajia kufanyiwa upasuaji ili utolewe licha ya kuwa anaabudiwa kama Mungu na watu wa jamii yake. Arshid Ali Khan, mwenye miaka 13 anaweza kuathiriwa ukuaji wake kutokana na mkia huo ingawa unamfanya aonekana kama alama ya uponyaji katika Jimbo la Punjab, India. Mtoto huyo anayetumia kiti cha watu wenye ulemavu amekuwa akiabudiwa na watu wa jamii yake kama Mungu aliyepewa...

tanzaniaa yaongoza kwa kwa bei za simu kutoka nnje

BAADHI ya Watanzania wanaoishi Ulaya na Marekani wamesema Tanzania inakosa mapato mengi kutokana na gharama za kupiga simu nchini kuwa ghali karibu mara tatu ya viwango vya nchi zote za Afrika Mashariki. Wamesema kuwa inawabidi kutumia ujanja wa kupiga simu nchini kupitia nchi jirani kama vile Kenya na Uganda ili kukwepa mzigo wa gharama za kuunganishwa ili kuwasiliana moja kwa moja na ndugu zao nchini. “Sisi kama Watanzania tunaopenda kuisaidia ndugu na nchi yetu kwa ujumla kwa sasa tunaona kero kupiga simu za moja kwa moja kwa sababu gharaa...

RIHANNA ADATISHWA NA MSAKATA KABUMBU WA TIMU YA GHANA KEVIN – PRINCE BOATENG

Mkali wa muziki wa Pop Duniani, mwanadafada ‘Rihanna’ ameonyesha kuvutiwa na utanashati wa msakata kabumbu wa timu ya taifa ya Ghana na kiungo wa klabu ya Fc Schalke 04 ‘Kevin – Prince Boateng baada ya kuweka picha ya mchezaji huyo kwenye ukurasa wake waTwitter siku ambayo Ghana ilichezea kipigo cha bao 2 -1 toka kwa Marekani. ”Da Bae Doe! I Might Have To Be team Ghana on this one idc idc idc” aliandika Rihanna.  Hata hivyo huenda ikamuia...

50 Cent Talks Beyonce's Breath, Sex with Kim Kardashian, Jay Z is Overrated, on Watch What Happens Liv

50 Cent dishes on Beyonce, Kim Kardashian and Jay Z Credit: Charles Sykes/Bravo/NBCU Photo Bank via Getty Images 50 Cent tells it like it is! But Beyonce and Jay Z may be wishing the rapper wasn't so truthful when Watch What Happens Live host Andy Cohen invited him to play Plead the Fifth on the Wednesday, June 18 episode of his show. PHOTOS: 50 and Chelsea Handler, and more odd couples For...